Podcasts by Category

Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania

Haraka sana ilienea kote Italia, tayari katika miaka ya 90, uzoefu huu wa kipekee wa redio uliamsha shauku katika sehemu zingine za ulimwengu. Baadaye, kila mara chini ya uelekezi na usaidizi wa Radio Maria Italia, Radio Maria nyingine iliibuka Amerika (kuanzia na Peru), Afrika (kwanza Burkina Faso), sehemu nyingine za Ulaya… na hivyo Familia ya Ulimwengu ya Radio Maria ilizaliwa mnamo Juni 1998, na kuwa NGO inayotambuliwa na UN, yenye makao makuu ya kisheria huko Roma. Madhumuni yake ni kuendeleza mradi wa kimisionari, kujibu maombi yanayotoka katika maeneo yote ya dunia, kuhakikisha uhalisi wa chapa, kutoa usaidizi wa kiufundi kwa RM zote, na kukuza mabadilishano na usaidizi kati ya kila redio. Familia ya Ulimwengu inadumisha mahusiano ya mara kwa mara ya taarifa na Baraza la Kipapa la Mawasiliano ya Kijamii la Kiti Kitakatifu

580 - Fahamu njia za kupinga ukatili dhidi ya Wazee.
0:00 / 0:00
1x
  • 580 - Fahamu njia za kupinga ukatili dhidi ya Wazee.

    Karibu ungane nami Mtangazaji wako Ester Magai Hangu, katika kipindi cha Elimu Jamii, Studio nipo na Bi. Millen Makundi, Mratibu wa dawati la Wazee Halmashauri ya jiji la Dar es salaam, leo anatufundisha kupinga ukatili dhidi ya Wazee.

    Fri, 31 May 2024
  • 579 - Je, wazifahamu aina nzuri za malezi ya vijana katika Familia?

    Ungana na Ester Magai Hangu, katika kipindi cha Malezi na makuzi ya Vijana, Mwezeshaji ni Sister Theresia Karugaba kutoka Ofisi za haki za Binadamu kitengo cha maendeleo ya jamii, Jimbo Katoliki Zanzibar, leo anazungumzia aina za malezi.

    Fri, 31 May 2024
  • 578 - Je, kuna utofauti wa sala kati ya Majimbo ya kusini na Majimbo mengine ya Tanzania?

    Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Petro Mikao, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, akijibu swali lililoulizwa na Msikilizaji wetu likisema, kwanini kuna utofauti katika baadhi ya sala kama vile sala za asubuhi na sala za jioni katika Majimbo ya kusini chini ya Jimbo Kuu la […]

    Fri, 31 May 2024
  • 577 - Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [sehemu ya kumi na tisa]

    ungana nami Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama, ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituamsha na kutuongoza katika siku yetu mpya, karibu tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

    Fri, 31 May 2024
  • 576 - Ifahamu historia ya Nabii Ezekieli.

    Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akielezea historia ya Nabii Ezekieli.

    Fri, 31 May 2024
Show More Episodes