Podcasts by Category
- 2810 - Wasiwasi wabadilika kuhusu kufukuzwa nchini kwa raia wa New Zealand
Serikali ya Australia imesema ina uhakika inaweza simamia uhusiano wayo na New Zealand, licha ya wasiwasi ulio zuliwa kuhusu mageuzi kwa sera inayo julikana kama Direction 99.
Sat, 01 Jun 2024 - 08min - 2809 - Taarifa ya Habari 31 Mei 2024
Donald Trump amekuwa rais wa kwanza wa zamani wa Marekani kupatwa na hatai ya uhalifu, baada ya jopo la mahakama la wajumbe 12 mjini New York kumpata na hatia ya udanganyifu wa hati ili kuficha malipo ya kumnyamazisha nyota wa ponografia kabla ya uchaguzi mkuu wa 2016.
Fri, 31 May 2024 - 19min - 2808 - Vita vya Australia vilikuwa vipi na kwa nini historia haija vitambua?
The Frontier Wars ni neno linalo tumiwa kuelezea zaidi ya miaka 100 ya migogoro ya vurugu kati ya wakoloni nawatu wa asili wa Australia, vilivyo tokea wakati wangereza walikuwa wakianza kuishi Australia.
Fri, 31 May 2024 - 15min - 2807 - Wa Australia wa Mataifa ya Kwanza wasema 'Sasa zaidi ya Wakati wowote' upatanisho wa kweli unahitajika
Hii ni wiki ya Upatanisho, ina adhimisha tarehe mbili muhimu katika historia ya Australia kwa haki zawatu wa Mataifa ya Kwanza.
Wed, 29 May 2024 - 09min - 2806 - Taarifa ya Habari 28 Mei 2024
Waziri wa maswala ya kigeni wa Australia Penny Wong amesema shambulizi baya la anga la Israel katika mji wa Rafah, linatisha na halikubaliki. Takriban watu 45 wame uawa baada ya shambulizi hilo kusababisha moto mkubwa katika kambi ya mahema ya kitongoji cha Tel Al-Sultan.
Tue, 28 May 2024 - 20min - 2805 - Vital Kamerhe achaguliwa kuwa spika mpya wa bunge la DRC
Wabunge wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wamemchagua Vital Kamerhe, ambaye nyumba yake ilishambuliwa siku ya Jumapili, kuwa spika mpya.
Tue, 28 May 2024 - 06min - 2804 - Taarifa ya Habari 24 Mei 2024
Ndege mbili za ziada zitatumika kutoka New Caledonia, serikali ya Australia ikiendeleza juhudi zakuwaleta nyumbani raia ambao wame kwama huko. Safari hizo za ndege ambazo zimefadhiliwa na serikali, zitaondoka kutoka eneo hilo la ufaransa katika Pasifiki leo Mei 24, baada ya zaidi ya wiki nzima ya migomo ambayo imesababisha vifo vya watu sita.
Fri, 24 May 2024 - 15min - 2803 - Kikomo cha umri wa viza 'isiyo haki' kuwalazimisha wanafunzi wakimataifa wa PhD kuondoka Australia
Kikomo kipya kwenye visa maarufu ya wahitimu kina waacha wanafunzi wengi wakimataifa wa PhD nchini Australia waki kabiliwa na siku za usoni zisizo na uhakika.
Fri, 24 May 2024 - 07min - 2802 - Taarifa ya Habari 23 Mei 2024
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron yuko katika Kisiwa cha Pasifiki cha New Caledonia, kwa mazungumzo yenye lengo laku geuza ukurasa kwa ghasia mbaya iliyo chochewa na mageuzi ya uchaguzi unaopingwa. Watu sita wamefariki katika machafuko hayo na takriban watu 300 wamekamatwa.
Fri, 24 May 2024 - 06min - 2801 - What were the Australian Wars and why is history not acknowledged? - Vita vya Australia vilikuwa vigani na kwa nini historia haivitambui?
The Frontier Wars is a term often used to describe the more than 100 years of violent conflicts between colonial settlers and the Indigenous peoples that occurred during the British settlement of Australia. Even though Australia honours its involvement in wars fought overseas, it is yet to acknowledge the struggle that made it the country it is today. - The Frontier Wars ni neno linalo tumiwa kuelezea zaidi ya miaka 100 ya migogoro ya vurugu kati ya wakoloni nawatu wa asili wa Australia, vilivyo tokea wakati wangereza walikuwa wakianza kuishi Australia. Hata kama Australia ni taifa linalo enzi kushiriki kwalo katika vita ng’ambo, bado haija tambua vita vilivyo ifanya kuwa nchi iliyopo leo.
Wed, 22 May 2024 - 11min - 2800 - Taarifa ya Habari 21 Mei 2024
Upinzani wa shirikisho umesema serikali haina "mpango wa kuaminika", kulinda mtandao wa umeme wa Australia kupitia kuhamia kwa nishati mbadala.
Tue, 21 May 2024 - 18min - 2799 - Charlie "Tamasha ya Sawa Sawa ni jukwaa la watu kuonesha vipaji na biashara zao"
Wana jumuiya wa Afrika wanao ishi mjini Sydney wamepata sababu yakufanya mtoko, ambao unajumuisha kila mwanachama wa familia.
Tue, 21 May 2024 - 09min - 2798 - Taarifa ya Habari 20 Mei 2024
Serikali ya Albanese imetetea hatua zakutoa afueni kwa gharama ya maisha, licha ya bajeti ya shirikisho kuipa serikali jeki ndogo katika kura za maoni.
Tue, 21 May 2024 - 08min - 2797 - Ukatili dhidi ya wanawake waiweka serikali ya Tanzania chini ya shinikizo
Watetezi wa haki za binadamu nchini Tanzania wameitaka serikali ya nchi hiyo kubuni sheria maalum kwa ajili ya kupambana na ukatili dhidi ya wanawake na wasichana kutokana na kuwepo kwa ongezeko la kubwa la ukatili katika kipindi cha hivi karibuni hali inayoendelea kutia wasiwasi.
Mon, 20 May 2024 - 07min - 2796 - Taarifa ya Habari 17 Mei 2024
Kupungua kwa urasimu, bajeti iliyo rahisishwa, na kupungua kwa uhamiaji ni sehemu muhimu ya mpango wa chama cha mseto kwa Australia.
Fri, 17 May 2024 - 17min - 2795 - Bajeti yashughulikia maswala muhimu kwa jumuiya zatamaduni nyingi ila maelezo ya ziada yana hitajika
Jamii za wahamiaji na wakimbizi zimekaribisha mipango katika bajeti ya shirikisho ila, wame sema maelezo zaidi yanahitajika kuhusu mikakati iliyo lengwa kwa wanachama wa jumuiya.
Fri, 17 May 2024 - 11min - 2794 - Jinsi ya kuomba kaziThu, 16 May 2024 - 11min
- 2793 - Namna yakupata leseni yakuendesha gari
Kuendesha gari hutoa uhuru na huongeza fursa zakupata kazi ila, shughuli hiyo huja pia na wajibu mkubwa waku hakikisha usalama barabarani.
Wed, 15 May 2024 - 12min - 2792 - Taarifa ya Habari 14 Mei 2024
Mweka hazina Jim Chalmers amesisitiza bajeti atakayo tangaza inahusu kuweka shinikizo yakupunguza mfumuko wa bei.
Tue, 14 May 2024 - 17min - 2791 - Watu saba wauawa kwa shambulizi la bomu Mkoani Kalehe DRCTue, 14 May 2024 - 09min
- 2790 - Taarifa ya Habari 10 Mei 2024
Mamia yawa fungwa wa uhamiaji wanaweza achiwa huru kutegemea na hukumu ya mahakama kuu, inayo tarajiwa kutolewa leo kwa changamoto yakisheria iliyo wasilishwa na muomba hifadhi kutoka Iran.
Fri, 10 May 2024 - 18min - 2789 - Uchunguzi wa Seneti waunga mkono mswada tata wa uhamisho
Uchunguzi wa Seneti umependekeza serikali ipitishe mswado wake wenye utata, utakao fanya iwe rahisi kuwafukuza nchini walio ndani ya vizuizi vya uhamiaji.
Fri, 10 May 2024 - 08min - 2788 - Taarifa ya Habari 9 Mei 2024
Serikali ya Australia ita imarisha miradi ya gesi katika hatua yakutoa suluhu kwa ongezeko la mahitaji pamoja nakusaidia mchakato wakuhamia kwa uzalishaji sufuri kufikia 2050, hoja ambayo imefichua kuwa uchimbaji utaendelea zaidi ya tarehe hiyo.
Thu, 09 May 2024 - 06min - 2787 - Bunge la Kenya lapiga kura yakutokuwa na imani na waziri wa kilimo na mifugo
Kamati maalum ya bunge la Kenya, imesikiza wasilisho la Mh Jack Wamboka ambaye anataka waziri wa kilimo na mifugo wa Kenya atimuliwe kazini.
Thu, 09 May 2024 - 06min - 2786 - Taarifa ya Habari 7 Mei 2024
Serikali imesema ita kuwa na akiba ya bilioni moja ya dola katika bajeti ya shirikisho ijayo, kwa kukata matumizi ya huduma ya umma ya wakandarasi, washauri na wafanyakazi wengine wa nje.
Tue, 07 May 2024 - 20min - 2785 - Understanding the profound connections First Nations have with the land - Kuelewa uhusiano wa kina wa Mataifa ya Kwanza na ardhi
The land holds a profound spiritual significance for Aboriginal and Torres Strait Islander peoples, intricately intertwined with their identity, belonging, and way of life. - Ardhi ina umuhimu mkubwa wa kiroho kwa wa Aboriginal na wanavisiwa wa Torres Strait, iliyo unganishwa kwa ustadi na utambulisho wao, kuwa sehemu na hali yao ya maisha.
Tue, 07 May 2024 - 09min - 2784 - Charlie "Mashabiki wa Bien watarajie bonge la tamasha"
Wakaaji wa Sydney wana jiandaa kuhudhuria moja ya tamasha kubwa ya mwaka wa 2024, inayo andaliwa na kampuni ya Beast from the East Entertainment.
Sat, 04 May 2024 - 10min - 2783 - Afrika Kusini ya adhimisha mwisho wa kumbukumbu ya apartheid wakati wa ongezeko ya kutoridhika nchini humo
Africa Kusini ina adhimisha miaka 30 tangu uchaguzi wakwanza wayo waki demokrasia ambapo kila raia wa Afrika Kusini aliweza piga kura.
Sat, 04 May 2024 - 06min - 2782 - Taarifa ya Habari 3 Mei 2024
Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema waendesha mashtaka wa shirikisho walifanya uamuzi mubaya kuruhusu dhamana kwa mfungwa wa uhamiaji, ambaye baadae anadaiwa kumshambulia bibi mmoja mjini Perth katika tukio la uvamizi wa nyumba.
Fri, 03 May 2024 - 17min - 2781 - MCA Tricky "Nili ingia katika ucheshi kujibamba"
MCA Tricky ni mmoja wa wacheshi maarufu nchini Kenya, kazi zake zina endelea kuwavutia mashabiki wengi.
Fri, 03 May 2024 - 08min - 2780 - Taarifa ya Habari 30 Aprili 2024
Ripoti mpya kuhusu mauaji nchini Australia, imeonesha kuwa idadi ya wanawake ambao wame uawa na wapenzi wao wa sasa au wazamani, imeongezeka kwa asilimia 28 mwaka huu hadi Juni 2023.
Tue, 30 Apr 2024 - 20min - 2779 - Mafuriko yasababisha maafa makubwa Afrika Mashariki
Zaidi ya watu 130,000 wame hamishwa na mafuriko nchini Kenya wakati idadi ya vifo ina endelea kuongezeka tena baada ya bwawa kuvunjika Jumatatu.
Tue, 30 Apr 2024 - 07min - 2778 - Taarifa ya Habari 29 April 2024
Mratibu wa maandamano yakupinga unyanyasaji dhidi ya wanawake mjini Canberra, amesema waziri mkuu alidanganya kuhusu, kuto ruhusiwa kuzungumza katika tukio hilo.
Mon, 29 Apr 2024 - 07min - 2777 - Viongozi wadini, Waziri Mkuu waomba uwepo wa heshima na maelewano katika jamii
Viongozi kutoka jumuiya za wayahudi, waislamu na wakristo mjini Sydney wame kemea kwa pamoja vurugu na maneno yakugawanya ambayo yame ibuka kufuatia matukio mawili ya shambulizi ya visu mjini Sydney.
Sat, 27 Apr 2024 - 10min - 2776 - Taarifa ya Habari 26 Aprili 2024
Aliyekuwa mu Australia wa mwaka wa zamani Rosie Batty ame ihamasisha serikali ya New South Wales izingatie kuanzisha tume yakifalme kwa ukatili wa nyumbani.
Fri, 26 Apr 2024 - 17min - 2775 - Maveterani washerehekewa naku kumbukwa katika siku ya ANZACFri, 26 Apr 2024 - 10min
- 2774 - Utofauti wa tamaduni zawa Anzac wa Australia
Kila mwaka tarehe 25 Aprili, huwa tuna adhimisha Anzac Day, ni siku ambapo tunawakumbuka walio hudumu nakufia vitani.
Thu, 25 Apr 2024 - 13min - 2773 - Shakilah afunguka kuhusu huduma za Rotary Safe Families Victoria
Shirika la Rotary Safe Families, hutoa taarifa zaku saidia kuzuia unyanyasaji kupitia miongozo iliyo tafsiriwa pamoja na filamu.
Wed, 24 Apr 2024 - 09min - 2772 - Taarifa ya Habari 23 Aprili 2024
Waziri Mkuu amewasifu wanajeshi wa Australia walio kuwa sehemu ya historia ya jeshi, katika eneo la Kokoda Track anapo jiandaa kutembea katika nyayo zamagwiji.
Tue, 23 Apr 2024 - 18min - 2771 - Jinsi yakupata leseni yakuendesha gari Australia
Kuendesha gari hutoa uhuru na huongeza fursa zakupata kazi ila, shughuli hiyo huja pia na wajibu mkubwa waku hakikisha usalama barabarani.
Tue, 23 Apr 2024 - 12min - 2770 - Nicky "kupitia Taunet Nelel vijana wengi wame anza kujijenga kimaisha"
Wakenya wanao ishi Australia watajumuika katika jiji la Dandenong jimboni Victoria, kuhudhuria hafla la shirika la Taunet Nelel.
Fri, 19 Apr 2024 - 12min - 2769 - Taarifa ya Habari 19 Aprili 2024
Waziri Mkuu ame sisitiza umuhimu wa mshikamano wakijamii nchini Australia, kufuatia uchunguzi kwa shambulizi lakigaidi la kudungwa kisu ndani ya kanisa wiki hii.
Fri, 19 Apr 2024 - 15min - 2768 - Kuelewa haki yakuandamana Australia na usawa kati ya uhuru wakujieleza na majukumu yakijamii
Karibu kila wiki wa Australia walio na shauku huwa nje mitaani, wakipaza sauti zao waki andamana kuhusu maswala muhimu.
Fri, 19 Apr 2024 - 11min - 2767 - Taarifa ya Habari 18 Aprili 2024
Askofu aliye dungwa kisu wakati wa ibada iliyo kuwa ikipeperushwa mubashara, amezungumza kwa mara ya kwanza tangu shambulizi hilo linalo shukiwa kuwa lakigaidi, akisema ame msamehe kijana anaye shukiwa kuwajibika kwa shambulizi hilo.
Thu, 18 Apr 2024 - 07min - 2766 - Kuelewa sheria za vizuizi vya watoto pamoja na mazoezi bora
Hata kama Australia ina fahari yakuwa na moja ya viwango vya juu zaidi vya matumizi ya vizuizi vya watoto ndani ya gari, watoto wengi bado wana safiri ndani ya magari katika hali isiyo salama kutosha.
Tue, 16 Apr 2024 - 12min - 2765 - Taarifa ya Habari 15 Aprili 2024
Polisi wamesema mwanaume aliye uwa watu sita kwa kuwadunga kisu ndani ya soko la Westfield Bondi Junction, ali waepuka wanaume kimakusudi nakuwalenga wanawake na watoto.
Mon, 15 Apr 2024 - 06min - 2764 - Polisi wamtambua mshambuliaji katika mauaji ya watu wengi ambako watu sita walifariki
Jeshi la polisi la New South Wales lime anza uchunguzi kwa shambulizi la kisu, lililo wauwa watu sita ndani ya soko kubwa katika vitongoji vya mashariki ya Sydney.
Mon, 15 Apr 2024 - 07min - 2763 - Taarifa ya Habari 12 Aprili 2024
Kiongozi wa upinzani Peter Dutton ametetea kauli yake, yakufananisha umuhimu kwa jamii maandamano yanayo unga mkono wapalestina katika jengo la Sydney Opera House na mauaji ya halaiki ya Port Arthur.
Fri, 12 Apr 2024 - 16min - 2762 - Jinsi yakujiandaa kwa dhoruba na mafuriko Australia
Katika muongo ulio pita, Australia imepitia matukio mabaya sana ya mafuriko katika historia ya hivi karibuni. Kati ya miaka ya 2020-2022, sehemu kubwa zime zama chini ya maji mara tatu au mara nne.
Fri, 12 Apr 2024 - 14min - 2761 - Taarifa ya Habari 9 Aprili 2024
Shirika la ustawi wa jamii lina omba pawe ongezeko kwa malipo ya hifadhi ya jamii baada ya utafiti wayo mpya kupata kuwa, wa Australia wanao pokea malipo ya ustawi wanakabiliana na hali ngumu kumudu moja ya ongezeko gumu zaidi la gharama ya maisha katika miongo.
Tue, 09 Apr 2024 - 15min - 2760 - Taarifa ya Habari 8 Aprili 2024
Kiongozi wa chama cha Nationals David Littleproud amesema anaunga mkono adhabu kwa tabia mbaya za maduka makubwa ila, ameongezea kuwa mabadiliko hayo hayata jiri haraka yakutosha kwa watumiaji.
Mon, 08 Apr 2024 - 08min - 2759 - Mkurugenzi afunguka kuhusu ziara ya AustraliaMon, 08 Apr 2024 - 17min
- 2758 - Mgomo wamadaktari wa tikisa sekta ya matibabu Kenya
Muungano wa Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno nchini Kenya (KMPDU) ulizindua mgomo wa kitaifa ukitaka mazingira bora ya kazi na nyongeza ya mishahara Machi 13.
Sat, 23 Mar 2024 - 06min - 2757 - Taarifa ya Habari 22 Machi 2024
Waziri wa Ulinzi Richard Marles amesema uchumi utafaidi kupitia makubaliano yakupiga jeki uzalishaji wa manowari yanayo tumia nishati ya nyuklia ya Uingereza kama sehemu ya mkataba wa AUKUS.
Fri, 22 Mar 2024 - 15min - 2756 - Jinsi yakuandaa ombi la kazi: vidokezo vya mafanikioFri, 22 Mar 2024 - 11min
- 2755 - The importance of understanding cultural diversity among Indigenous peoples - Umuhimu wa kuelewa tofauti zakitamaduni miogoni mwa wa Australia wa kwanza
Understanding the diversity within the First Nations of Australia is crucial when engaging with Aboriginal and Torres Strait Islander peoples and building meaningful relationships. - Kuelewa utofauti ndani ya jumuiya yawa Australia wa Kwanza ni muhimu unapo jihusisha nawa Aboriginal na wanavisiwa wa Torres Strait pamoja nakujenga mahusiano yenye maana.
Fri, 22 Mar 2024 - 09min - 2754 - Taarifa ya Habari 19 Machi 2024
Serikali ya Albanese imesema itapinga kuachiwa huru kwa zaidi ya watu 100 ambao wako ndani ya kizuizi cha uhamiaji, katika kesi nyingine muhimu itakayo fikishwa mbele ya mahakama kuu.
Tue, 19 Mar 2024 - 18min - 2753 - Wasiwasi wachukua nafasi ya zawadi za Pasaka kwa famiia zinazo pitia wakati mgumu
Wakati wa Australia wengi wana jiandaa kwa likizo ndefu ya Pasaka, mashirika yamisaada ya chakula nayo yana jiandaa kwa muda wa shughuli nyingi zaidi ya mwaka.
Tue, 19 Mar 2024 - 08min - 2752 - Taarifa ya Habari 18 Machi 2024
Vizuizi vya uhamiaji vinatarajiwa kutawala siasa za Australia wiki hii wakati serikali ina jiandaa kukabiliana na kesi nyingine ndani ya mahakama kuu, ambako watu wingine 100 wanaweza achiwa huru.
Mon, 18 Mar 2024 - 06min - 2751 - Taarifa ya Habari 15 Machi 2024
Mamlaka jimboni Victoria wame zindua uchunguzi kwa mgodi ulio bomoka mjini Ballarat naku uwa mwanaume mmoja pamoja nakumuacha mwingine akipigania maisha yake.
Fri, 15 Mar 2024 - 16min - 2750 - Umuhimu wa kuelewa tofauti zakitamaduni miogoni mwa wa Australia wa kwanza
Utofauti tajiri ndani ya umma wa waAustralia wa kwanza ni kipengele cha kuvutia, kupinga dhana potofu ya kawaida kuwa watu wote ambao niwa Aboriginal na wanavisiwa wa Torres Strait wote wako sawa.
Fri, 15 Mar 2024 - 12min - 2749 - Taarifa ya Habari 14 Machi 2024
Polisi wame pata mwii wa mwanaume aliye fariki ndani ya mgodi ulio bomoka Ballarat, katika kanda ya Victoria.
Thu, 14 Mar 2024 - 05min - 2748 - Rahab"Serikali imesikia nakuchukulia hatua kilio chetu kuhusu utapeli"
Viongozi wa makampuni na biashara kutoka Kenya wame tua mjini Melbourne kushiriki katika kongamano la biashara.
Wed, 13 Mar 2024 - 10min - 2747 - Taarifa ya Habari 12 Machi 2024
Serikali imesema imetupilia mbali kutumia ushuru kuwekeza mfumo wa malezi ya wazee, baada yakutolewa kwa ripoti ya nguvu kazi katika sekta hiyo.
Tue, 12 Mar 2024 - 20min - 2746 - Ramadan na Eid ni nini na husherehekewaje AustraliaTue, 12 Mar 2024 - 11min
- 2745 - Taarifa ya Habari 11 Machi 2024
Polisi wamesema juhudi zakumtafuta mvulana wa miaka 12 katika eneo la magharibi Sydney, zimefika katika hatua muhimu wasiwasi kuhusu ustawi wake ukiendelea kuongezeka.
Mon, 11 Mar 2024 - 04min - 2744 - Kotnyin afunguka kuhusu siku ya kimataifa ya wanawakeFri, 08 Mar 2024 - 08min
- 2743 - Taarifa ya Habari 8 Machi 2024
Serikali ya shirikisho imetoa ripoti yake ya pili ya mwaka kwa hali ya Wanawake, ripoti hiyo inaonesha pengo la malipo ya jinsia iko katika kiwango cha chini kwa asilimia 12 ila tofauti zingine kubwa zimesalia.
Fri, 08 Mar 2024 - 18min - 2742 - Kukabiliana na habari potofu: jinsi yakutambua na kukabiliana na habari za uongo
Katika zama ambapo habari husafiri kwa kasi ya mwanga, kutofautisha ukweli kwa uongo imekuwa changamoto kubwa.
Fri, 08 Mar 2024 - 13min - 2741 - Wanyika afunguka kuhusu maandalizi ya tamasha ya Angélique Kidjo katika Sydney Opera House
Gwiji wa Muziki kutoka Benin Bi Angélique Kidjo ana tarajiwa kuwa na tamasha kubwa ndani ya Sydney Opera House usiku wa Jumatano 6 Machi 2024.
Wed, 06 Mar 2024 - 10min - 2740 - Taarifa ya Habari 5 Machi 2024
Anthony Albanese anatarajiwa kuweka wazi sera mpya zakupiga jeki ushiriki wa biashara za Australia, katika ukanda wa Kusini mashariki Asia, kongamano la ASEAN linapo anza leo mjini Jumanne Machi 5 mjini Melbourne.
Tue, 05 Mar 2024 - 17min - 2739 - Wito watolewa katika wiki yakitaifa ya uelewa zaidi wa ugonjwa wa vifaa vyakusafirisha damu ndani ya moyo
Wiki ya tarehe 26 Feb hadi 3 Machi, ni wiki yakutoa uelewa wa ugonjwa wa moyo na kifaa kinacho tumiwa kusafirisha hewa au damu moyoni.
Tue, 05 Mar 2024 - 09min - 2738 - Taarifa ya Habari 4 Machi 2024
Waziri mkuu Anthony Albanese amesema uchaguzi mdogo wa Dunkley umethibitisha kuwa wa Australia hawa vutiwi na kampeni hasi.
Mon, 04 Mar 2024 - 07min - 2737 - Taarifa ya Habari 1 Machi 2024
Shirika la ujasusi la Australia limetetea uamuzi wayo wakuto weka wazi jina la mwanasiasa wa zamani ambaye ame husishwa na kundi la ujasusi lakigeni.
Fri, 01 Mar 2024 - 18min - 2736 - Tanzania yaomboleza kifo cha Hayati Mwinyi
Viongozi mbali mbali nchini Tanzania, wana endelea kutoma salamu za kwa jamaa na familia ya Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi, aliyefariki dunia Alhamisi wiki hii.
Fri, 01 Mar 2024 - 07min - 2735 - Taarifa ya Habari 27 Februari 2024
Asilimia 90 au zaidi ya waajiri katika sekta za madini, umeme, maji, huduma za taka, fedha na bima, wana pengo la malipo linalo wapendelea wanaume.
Tue, 27 Feb 2024 - 19min - 2734 - Shakilah" lengo letu si kutenganisha familia, ila nikufanya ziwe imara"
Shirika la Rotary Safe Families hutoa taarifa zaku saidia kuzuia unyanyasaji kupitia miongozo iliyo tafsiriwa pamoja na filamu.
Tue, 27 Feb 2024 - 24min - 2733 - Taarifa ya Habari 26 Februari 2024
Vikwazo vyakifedha vya mtindo wa Magnitsky pamoja na marufuku yakusafiri, yametolewa dhidi ya maafisa saba wa gereza ambao serikali ya Australia ina amini, walishiriki katika unyanyasaji wa
Mon, 26 Feb 2024 - 06min - 2732 - Sergent "Kiptum's death is painful and still haunts us"
The family of the late marathon world record holder Kelvin Kiptum and members of the Kenyan community have gathered in his rural village to give him his final send off.
Fri, 23 Feb 2024 - 18min - 2731 - Prof Chacha "Tunastahili ongeza juhudi kukutanisha Rwanda na DRC ili tupate suluhu ya amani"
Maelfu ya raia wanao ishi katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, wanahangaika kutokana na upungufu mkubwa wa chakula ndani ya maduka na masoko ya eneo hilo.
Fri, 23 Feb 2024 - 06min - 2730 - Sergent "Kiptum alikuwa mtu mpole na mcheshi sana"
Habari za kifo cha mshindi wa rekodi ya dunia ya mbio za marathon za wanaume, Kelvin Kiptum katika ajali ya barabarani, zilitikisa dunia nzima siku chache zilizo pita.
Fri, 23 Feb 2024 - 15min - 2729 - Tresor "Lugha ya mama inatusaidia kuendeleza mila yetu"
Shirika la Umoja wa Mataifa limekuwa liki adhimisha siku ya kimataifa ya lugha ya mama 21 Februari tangu 1999.
Fri, 23 Feb 2024 - 05min - 2728 - Taarifa ya Habari 23 Februari 2024Fri, 23 Feb 2024 - 18min
- 2727 - Immaculate "Tuki poteza lugha tuta poteza utamaduni wetu "
Shirika la Umoja wa Mataifa limekuwa liki adhimisha siku ya kimataifa ya lugha ya mama 21 Februari tangu 1999.
Fri, 23 Feb 2024 - 06min - 2726 - Taarifa ya Habari 22 Februari 2024Thu, 22 Feb 2024 - 07min
- 2725 - Ushonaji wa jumuiya zawa Australia wa Kwanza una umuhimu gani kitamaduni
Moja ya mifano ngumu zaidi na ya kisasa ya teknolojia ya Jumuiya zawa Australia wa kwanza na tamaduni, huonekana kupitia kushuka.
Wed, 21 Feb 2024 - 11min - 2724 - Taarifa ya Habari 20 Februari 2024
Waziri Mkuu Anthony Albanese anamshtumu kiongozi wa upinzani wa shirikizo Peter Dutton, kwa kuwahamasisha wasafirishaji haramu wa watu.
Tue, 20 Feb 2024 - 19min - 2723 - Wanafunzi walengwa kuwa wasafirishaji wa pesa na wanakabiliwa na madhara makubwa
Kuna onyo mpya kuhusu matangazo yakufanyia kazi nyumbani, ambayo yanaonekana kuvutia sana au yanayo ahidi maokoto makubwa kwa uwekezaji.
Tue, 20 Feb 2024 - 09min - 2722 - Taarifa ya Habari 19 Februari 2024
Waziri wa mazingira Tanya Plibersek amemshtumu Peter Dutton kwa kuwasaidia wasafirishaji haramu wa watu kufanya matangazo, kwa kudai kuwa serikali ya shirikisho imeregeza hatua za usalama mpakani.
Mon, 19 Feb 2024 - 06min - 2721 - Taarifa ya Habari 16 Februari 2024
Upinzani wa shirikisho una wasiwasi kuhusu hali ya uchumi wa Australia, kiwango cha ukosefu wa ajira kikiongezeka hadi 4.1%.
Fri, 16 Feb 2024 - 17min - 2720 - Kuwa salama katika jua bila kujali aina ya ngozi yako
Miongozo ya usalama wa jua imesasishwa kwa mara ya kwanza kujumuisha ushauri kwa aina tofauti za ngozi.
Fri, 16 Feb 2024 - 11min - 2719 - What is Lunar New Year, and how is it celebrated in Australia? - Mwaka Mpya wa Lunar ni nini, na unasherehekewaje Australia?
"Lunar New Year", also known as the "Spring Festival", has become a significant part of Australian culture. The celebration is so popular that Sydney's version is considered the largest outside Asia. - "Mwaka Mpya wa Lunar", unajulikana pia kama "Sherehe ya Mchipuko wa mimea", imekuwa sehemu muhimu ya tamaduni ya Australia. Sherehe hiyo imekuwa maarufu sana na sherehe za Sydney zina zingatiwa kama kubwa zaidi nje ya Asia.
Wed, 14 Feb 2024 - 10min - 2718 - Taarifa ya Habari 13 Februari 2024Tue, 13 Feb 2024 - 18min
- 2717 - Vincent afunguka kuhusu sekta ya ucheshi AustraliaTue, 13 Feb 2024 - 07min
- 2716 - Taarifa ya Habari 9 Februari 2024
Uchambuzi mpya wa shirika la Regional Australia Institute umepata kuwa bei za nyumba katika maeneo ya kanda, zina fika viwango vya juu nakukaribia bei katika soko za miji.
Fri, 09 Feb 2024 - 18min - 2715 - Ni mbinu ipi bora ya kutokomeza ukeketaji
Mashirika mbali mbali yana endelea kuongeza juhudi kutokomeza ukeketaji, pamoja nakutoa elimu kwa umma kuhusu jambo hilo.
Fri, 09 Feb 2024 - 11min - 2714 - Taarifa ya Habari 8 Februari 2024Fri, 09 Feb 2024 - 06min
- 2713 - Saada afunguka kuhusu umuhimu wakutokomeza ukeketaji
Februari 6 ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukeketaji, mashirika na mamlaka mbali mbali huandaa hafla zakutoa elimu kwa umma kuhusu jambo hilo.
Tue, 06 Feb 2024 - 10min - 2712 - Taarifa ya Habari 6 Februari 2024
Waziri Mkuu amekosoa upinzani kwa kufeli kuwa na msimamo kwa pendekezo lake la awamu ya tatu ya makato ya kodi, wakati vikao vya bunge la shirikisho vina anza tena.
Tue, 06 Feb 2024 - 21min - 2711 - Wanaume wakaribishwa kuchangia chakula na kutafuta suluhu za changamoto zaoSat, 03 Feb 2024 - 10min
Podcasts similar to SBS Swahili - SBS Swahili
- Conversations ABC listen
- El Partidazo de COPE COPE
- Herrera en COPE COPE
- Es la Mañana de Federico esRadio
- La Noche de Dieter esRadio
- Hondelatte Raconte - Christophe Hondelatte Europe 1
- Affaires sensibles France Inter
- Más de uno OndaCero
- La Zanzara Radio 24
- L'Heure Du Crime RTL
- El Larguero SER Podcast
- Nadie Sabe Nada SER Podcast
- SER Historia SER Podcast
- Todo Concostrina SER Podcast
- 安住紳一郎の日曜天国 TBS RADIO
- TED Talks Daily TED
- アンガールズのジャンピン[オールナイトニッポンPODCAST] ニッポン放送
- 辛坊治郎 ズーム そこまで言うか! ニッポン放送
- 飯田浩司のOK! Cozy up! Podcast ニッポン放送
- 吳淡如人生實用商學院 吳淡如
- 武田鉄矢・今朝の三枚おろし 文化放送PodcastQR
Other News & Politics Podcasts
- The Ray Hadley Morning Show 2GB
- Ben Fordham Live on 2GB Breakfast Radio 2GB
- The Bolt Report Sky News Australia / NZ
- Credlin Sky News Australia / NZ
- Dateline NBC NBC News
- You Cannot Be Serious Sam Newman
- Global News Podcast BBC World Service
- Nights with John Stanley 2GB & 4BC
- Paul Murray Live Sky News Australia / NZ
- Ukraine: The Latest The Telegraph
- Late Night Live - Full program podcast ABC listen
- Sky Sports Radio's Big Sports Breakfast Sky Sports Radio
- 3AW Mornings with Tom Elliott 3AW
- UFO WARNING UFO WARNING
- Australia Overnight with Clinton Maynard 2GB
- Six Tackles With Gus 9Podcasts
- The Rita Panahi Show Sky News Australia / NZ
- The Tucker Carlson Podcast Tucker Carlson Network
- The Dan Bongino Show Cumulus Podcast Network | Dan Bongino
- Hack triple j